Afrika Ya Mashariki

Afrika Ya Mashariki

Kwenye makala ya Afrika ya Mashariki unahabarika na kuelimika juu ya changamoto za maisha ya wananchi wa Afrika Mashariki na eneo zima la maziwa makuu. Usipitwe na Makala ya Afrika ya Mashariki kwani unapata nafasi ya kutoa mawazo yako na kusikiliza wataalamu mbalimbali watakaokuwezesha kubadili fikra na kufikia maendeleo endelevu.
00:00
00:00

Épisodes

163-

Kenya yaanza safari ya kutafuta dira mpya, ruwaza ya 2030 ikielekea kufika ukomo

21 août 2026
162-

Tanzania: Nanenane imebaki maonesho ya kilimo au imegeuka soko la biashara?

12 août 2026
161-

Safari ya Tohara ya kitabibu kutoka mila hadi afya ya umma

01 août 2026
160-

Mazungumzo ya kitaifa yanaweza kuponya majeraha ya DRC?

24 juil. 2026
159-

CCM na ACT-Wazalendo vimesaini makubaliano mapya ya maridhiano.

15 juil. 2026