Talisman Brisé ni tamthilia ya redio inayosimulia hadithi ya mtunza bustani Kwame ambaye bosi wake Profesa Omar anatekwa nyara na watu wasiojulikana. Kwa nini Profesa Omar anatekwa nyara na watu hao? Mfanyakazi wake Kwame atafanikiwa kumuokoa Bosi wake? Fuatilia haya kwenye tamthilia ya Talisman Brise hapa rfi kila siku ya jumapili ndani ya Makala ya Changu Chako Chako Changu.
42 - Kwame arudi kwenye kituo cha utafiti,.
00:00
00:00
Talisman Brisé ni tamthilia ya redio inayosimulia hadithi ya mtunza bustani Kwame ambaye bosi wake Profesa Omar anatekwa nyara na watu wasiojulikana. Kwa nini Profesa Omar anatekwa nyara na watu hao? Mfanyakazi wake Kwame atafanikiwa kumuokoa Bosi wake? Fuatilia haya kwenye tamthilia ya Talisman Brise hapa rfi kila siku ya jumapili ndani ya Makala ya Changu Chako Chako Changu.
Aucune description d'épisode disponible.
Publié01 juil. 2012
Durée
Épisodes
42-
Kwame arudi kwenye kituo cha utafiti,.
Écouté
01 juil. 2012
41-
Hatimaye Profesa awa huru,Kwame apongezwa
Écouté
24 juin 2012
40-
Polisi yawaweka chini ya ulinzi watekaji nyara kabla ya kumuokoa Profesa Omar...
Écouté
17 juin 2012
39-
Kwame na polisi wanafanikiwa kufika katika eneo aliloshikiliwa Profesa Omar
Écouté
10 juin 2012
38-
Kwame afanikiwa kuwashawishi polisi na kuondoka nao..
Écouté
03 juin 2012
37-
Profesa Abubakar abainika kuwa bandia
Écouté
06 mai 2012
36-
Watekaji nyara wadai pesa ili kumwachia profesa Omar
Écouté
29 avr. 2012
35-
Kwame anamtumia mbinu mbali mbali za kumpata Profesa Omar ikiwemo kumtumia mganga wa jadi, Je atafanikiwa?
Écouté
22 avr. 2012
34-
Kwame bado anakabiliwa na changamoto ya kufika alipo Profesa Omar .
Écouté
15 avr. 2012
33-
Je Kwame atakata tamaa kumtafuta Profesa?
Écouté
08 avr. 2012
32-
Kwame aelekea Niamey
Écouté
01 avr. 2012
31-
Kwame na uamuzi wa kuelekea Niamey
Écouté
25 mars 2012
30-
Baada ya kuachiwa huru na polisi Kwame anaendelea na harakati za kumtafuta Profesa Omar, je atafanikiwa?
Écouté
18 mars 2012
29-
Kwame apewa maelekezo na Clement mtembezaji wa watalii
Écouté
11 mars 2012
28-
Polisi yasema haitamchukulia Kwame kama gaidi
Écouté
04 mars 2012
27-
Kwame ajibu maswali ya polisi
Écouté
26 févr. 2012
26-
Kwame hana uaminifu na mtu
Écouté
19 févr. 2012
25-
Kwame anakutana na polisi wa kike,je atamsaidia kumpata Profesa Omar?
Écouté
12 févr. 2012
24-
Nini kitampata Kwame baada ya kufika Tondiedo?
Écouté
05 févr. 2012
23-
Kwamé anakutana na Clément
Écouté
29 janv. 2012
22-
Episode ya pili
Écouté
22 janv. 2012
21-
Kwame mtunza bustani yuko katika bustani mara wageni wanaingia.